Alhamisi, 26 Mei 2016

Pishi la Mourinho kupakuliwa Man U

Mazungumzo baina ya meneja wa Mourinho Jorge Mendez na viongozi wa ngazi ya juu ya man u teyari yamekamilika na tangazo rasmi la klabu hiyo juu ya ujio wa kocha huyo litatolewa mapema ijumaa hii
Mourinho atachukua nafasi ya aliyekuwa kocha wa Manchester Luis van Gaal msimu ulio pita

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni