Ikumbukwe kuwa mnamo mwaka 1939-1945 vita ya pili ya dunia ilipiganwa kwa sababu ambazo hazikumalizika wakati wa vita ya kwanza ya dunia ya mwaka 1914-1918.
Mnamo august 6 ya mwaka 1945 Bomu la atomic lilipigwa katika mji wa Hiroshima kwa makadilio liliua with 140000.
Haikua mwisho baada ya siku Tatu kupita Bomu la pili lilipigwa katika mji wap Nagasaki Bomu hili pia linakadiliwa kuua watu kati ya 70000.
Hali hii ilipelekea Japan kushindwa vita na ilipofika august 15 ya mwaka huo Japan ilijitoa rasmi kwenye vita hiyo.
Ikaliliwe kuwa tangia mwaka huo wa kumalizika kwa vita hiyo marekani chini ya Franklin Roosevelt Barack Obama ndiye rais wa kwanza wa nchi hiyo alieko madarakani kutembelea Hiroshima mbali na hivyo amezidi kuasa juu ya utumizi wa siraha za maangamizi maana no siraha zenye madhara makubwa kwa binadamu
Ijumaa, 27 Mei 2016
Obama atua Hiroshima
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni