Kijana mmoja (pichani) jijini mwanza amenusulika kifo baada ya kujirusha kwenye mnara wa mawasiliano wa kampuni la Vodacom uliopo jirani na makutano ya barabara ya nyerere na makongolo jirani na ilipokuwa clinic.
Kijana huyo alipanda mnarani hapo majira ya saa mbili asubuhi licha ya jitihada za jeshi la zimamoto na uokoaji wakishirikiana na jeshi la polisi na raia waliokuwepo eneo la tukio kumtaka ashuke kijana huyo alizidi kupanda juu na alipo fikia kileleni mwa mnara huo aliamua kujirusha na hivi sasa yupo hospitali ya mkoa sekoutoure kwa matibabu chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Ikumbukwe kuwa kijana huyu aliwahi kupanda mnara wa sasa uliopo makutano ya makongoro na nyerere japo hakufanikiwa kutimiza azma yake
Ijumaa, 27 Mei 2016
Anusulika kifo kwa kujirusha mnarani
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni