Alhamisi, 26 Mei 2016

Hiki ndicho RC Makonda alichoandika kwenye ukurasa wake wa FB

Baada ya kupokea madawati hakusita kuandika haya
Asante sana MH balozi wa China Nchini Tanzania, kwanza kwakunitembelea pili kwa support ya Madawati 300 na mwisho kwa kukubali kuwa Mwenyekiti wangu wa kamati ya kuchangisha Madawati kwa Mabalozi Wote wanao Wakilisha Nchi zao hapa Tanzania

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni