Inaelezwa Kuwa usiku wa kuamkia Leo tarehe 31 Thomas Mashali akiwa katika baa Moja kimara ulizuka ugomvi baina yake na kijana mmoja ndani ya baa ile baada ya Mashali kumkabili na kumdhibiti kijana huyo aliamua kumpigia kelele za mwizi jambo lilimfanya mashali kushambuliwa na watu wasiofahamika kisha wakamburuza nje kidogo ya baa ile
BWANA ALITOA BWANA AMETWAA
JINA LAKE LIHIMIDIWE
Jumatatu, 31 Oktoba 2016
TANZIA
Jumamosi, 23 Julai 2016
Povu lamtoka scholes juu ya dau la pogba
Paul Scholes anaamini kwamba Manchester United
hawatakuwa wanatenda haki endapo watatoa kiasi
cha paundi mil 92 (euro mil 110) kuinasa saini ya
Paul Pogba kutoka Juventus, ada ambayo
inaelezwa kuvunja rekodi ya usajili duniani.
Scholes ni shabiki mkubwa wa Pogba lakini
amesema kwa bei hiyo inaaminisha kwamba
uwezo wake ni sawa na Lionel Messi and Cristiano
Ronaldo huku akisema haamini kwamba Mfaransa
huyo ana thamani sawa na wakali hao wawili.
“Alikuwa ni mchezaji mwenye kipaji kikubwa,
Nimewahi kucheza naye mara nyingi tu,” Scholes
aliwaambia wanahabari.
“Ni kweli amekuwa kwenye kiwango bora lakini
bado siamini kama ana thamani ya paundi milioni
100 kwa sasa.”
“Kwa bei kama hiyo, ungehitaji mchezaji ambaye
anaweza kufunga magoli zaidi ya 50 kwa msimu,
kama Ronaldo au Messi, Pogba bado hajafika huko
kabisa.”
Ijumaa, 22 Julai 2016
Munich yajazwa damu
Watu sita wanahofiwa kufariki baada ya watu wenye bunduki kuwafyatulia risasi watu katika jumba moja la kibiashara mjini Munich, Ujerumani.
Polisi wanasema washukiwa bado hawajakamatwa na wamewatahadharisha watu na kuwashauri kutotoka nje.
Operesheni kubwa ya kiusalama inaendelea katika jumba la kibiashara la Olympia, ambalo linapatikana mtaa wa Moosach, kaskazini magharibi mwa Munich.
Watu walioshuhudia tukio wanasema wamewaona watu watatu waliokuwa na bunduki.
Maafisa wa polisi Bavaria wamekuwa katika hali ya tahadhari tangu Jumatatu kijana mhamiaji alipowadunga visu na kuwajeruhi watu kadha katika treni, shambulio ambalo kundi la Islamic State lilidai kuhusika.(source BBC Swahili).
Jumanne, 19 Julai 2016
Tale kuburuzwa kortini
Mahakama imetoa hati hiyo kutokana na Babu Tale kutotii amri ya mahakama iliyomtaka amlipe Shekhe Hamis Mbonde Sh. 250 milioni.
Babu Tale anatakiwa alipe fedha hizo kutokana na kuvunja mkataba kati yake na Shekhe Mbonde, kwa kuuza na kusambaza nakala za mawaidha (DVDs) bila ridhaa ya shekhe huyo, jambo ambalo ni kinyume na haki miliki.
Kutokana na Babu Tale na mwenzake Iddi Tale kushindwa kulipa fedha hizo kama ilivyoamriwa tarehe 18, Februari mwaka huu, mahakama ilitoa hati ya kukamatwa kwa wadaiwa hao tarehe 8 Julai mwaka huu.
Katika hati hiyo, mahakama ilimuelekeza Kamanda wa Polisi Kanda ya Ilala kuwa, hadi leo tarehe 19 Julai mwaka huu awe amewakamata wadaiwa hao ili wafike mahakamani kueleza kwanini wasipewe adhabu kwa kukiuka amri ya mahakama.
Shauri hilo limetajwa tena leo mbele ya Juma Hassan, Kaimu Msajili wa Wilaya wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ambapo ametoa hati nyingine kumuelekeza Kamanda wa Polisi Kanda ya Kinondoni kuwakamata wadaiwa hao.
Msajili Juma ametoa hati hiyo baada ya Mwesigwa Muhingo, Wakili wa Shekhe Mbonde, kuomba hati hiyo ipekwe Kinondoni kwa kuwa Babu Tale anaishi huko na si Wilaya ya Ilala kama hali ya kwanza ilivyoeleza.
Tarehe 18 Februari mwaka huu, Jaji Augustine Shangwa, aliwaamuru wadaiwa kulipa Sh. 200 milioni kama fidia ya kuvunja haki miliki ya Shekhe Mbonde na Sh. 50 milioni kama fidia ya hasara aliyoipata kutokana na kuvunja makubaliano.
Katika uamuzi wake Jaji Shangwa amesema, Juni 16, 2013, Mbonde aliingia makubaliano na wadaiwa hao na wenzake ya kufanya biashara ya kurekodi mawaidha na kutengeneza nakala DVDs kwa ajili ya kuziuza nchini.
Wadaiwa hao waliahidi kumjengea nyumba, kumnunulia gari na kuitangaza kazi yake pia walimpa Sh milioni mbili na kumnunulia kanzu na kofia (baraghashia) na kurekodi DVDs zenye ujumbe Uzito wa Kifo, Fitina Juu ya Wanawake, Umuhimu wa Swala, Mwanadamu Yumo Ndani ya Hasara na Maadui wa Uislam.
Amesema, makubaliano ya awali yalikuwa kurekodi halafu baadaye wakubaliane kuhusu bei na jinsi ya kuziuza, badala yake waliziuza na kuzisambaza nakala hizo na kujipatia faida bila kumshirikisha Mbonde ambaye alitumia ujuzi wake.
Mbonde kupitia wakili wake Muhingo, Gwamaka Mwaikugile na Clement Kihoko, alifungua kesi ya madai namba 185/2013 akiiomba mahakama iamuru wadaiwa wamlipe Sh. 700 milioni kama fidia ya kuvunja makubaliano na Sh. 50 milioni kama fidia ya hasara aliyoipata kutokana na kuvunjwa kwa makubaliano
Jumapili, 17 Julai 2016
Zawadi za rigi kuu msimu uliopita teyari ziko hewani
Hitimisho ligi ya msimu wa 2015/2016 imekamilika kwa utolewaji wa zawadi kwa washindi wa kombe la msimu wa 2015/2016 ulioambatana na utoaji wa tuzo kwa vipengele mbalimbali.
Mgeni rasmi katika halfa hiyo, Waziri wa Mambo ya Ndani, Mh. Mwigulu Nchemba amemtaja mchezaji bora wa msimu kuwa ni Juma Abdul wa Yanga ambaye amewashinda wenzake ambao ni Mohammed Hussein na Chiza Kichuya.
Juma Abdul kwa msimu umeomalizika amecheza michezo 25, dakika 2,069 na kufanikiwa kufunga magoli 3 huku akipewa kadi moja ya njano.
Orodha kamili ni;
Mchezaji Bora wa Msimu – Juma Abdul – Milioni 9.2
Mchezaji Bora Chipukizi – Mohammed Hussein – Milioni 4
Mchezaji Bora wa Kigeni – Thaban Kamusoko – Milioni 5.7
Goli Bora la Msimu – Ibrahim Ajib – Milioni 3
Golikipa Bora wa Msimu – Aishi Manula – Milioni 5.9
Kocha Bora wa Msimu – Hans Van Der Pruijm – Milioni 8
Refa Bora wa Msimu – Ngole Mwangole
Timu Yenye Nidhamu – Mtibwa Sugar – Milioni 17.2
Mfungaji Bora Msimu wa 2015/2016 – Amissi Tambwe – Milioni 5.7
Washindi wa msimu;
4. Prisons – Milioni 21
3. Simba – Milioni 29
2. Azam – Milioni 42
1. Yanga – Milioni 81
Ijumaa, 15 Julai 2016
Ikufikie ulipo
Watu 36 wameuawa katika shambulio la kujitoa
muhanga katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa
Ataturk Istanbul nchini Uturuki,na wengine zaidi ya
100 kujeruhiwa
Shughuli za usafirishaji katika uwanja huo
zimesitishwa huku shughuli ya uokoaji na huduma
ya kwanza vikiendelea..
Gavana wa mji wa Istanbul amethibisha kuuawa
watu hao 32 na idadi hiyo ya majeruhi.
Mashuhuda wanasema waliwaona washambuliaji
watatu,ambapo mmoja kati yao alikuwa akifyatua
risasi kabla ya kujitoa muhanga kwa kujilipua kwa
bomu na kufa.
Hata hivyo mashambulizi hayo yalihusisha katika
eneo la kuingia katika uwanja huo.
Rais wa Uturuk Recep Tayyip Erdogan amelaani
shambulio hilo na kusisitiza umoja katika
kutokomeza vitendo hivyo.
Uturuki imekuwa ikikabiliwa na mashambulizi ya
kigaidi kutoka pande mbili,kwanza kutoka kwa
kundi la Islamic State wanaoingia kutoka nchi jirani
ya Syria na waasi wa Kikurud wanataka kuunda
dola yao.
Mapinduzi uturuki
Kundi moja la kijeshi nchini Uturuki linasema
limechukua udhibiti wa nchi huku milio ya risasi
ikisikika jijini Ankara
15 Julai 2016
36 teyari wameripotiwa kuuwawa
Obama atuma salamu
SAMATTA atia mchango wake
usiku Juni 14, nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Mbwana Ally Samatta alifunga goli kwenye mchezo wa hatua za awali kuwania kucheza Europa Ligue wakati Genk ikicheza dhidi ya Buducnost Podgorica.
Mchezo huo ulimalizika kwa Genk kuibuka na ushindi wa magoli 2-0 huku Samatta akiwa amefunga bao la pili dakika ya 79 huku baada ya Neeskens Kebano kufunga bao la kwanza dakika ya 17 kwa mkwaju wa penati.
Alhamisi, 14 Julai 2016
Zitto na ukapela basi
Mbunge wa Kigoma mjini na kiongozi wa ACT tarehe 14/07/2016 afunga ndoa huko Zanzibar na kuuanga ukapela rasmi chini ni picha za tukio hilo
Ijumaa, 27 Mei 2016
Kauli ya lowasa mjini monduli
Hii ndio kauli ya mheshimiwa Lowasa kupitia ukurasa wake wap facebook baada ya kukutana na balozi wa Japan
Nimekutana na rafiki yetu Balozi wa Japan hapa nchini Masaharu Yoshida, nikiwa pamoja na viongozi wote wa wilaya yetu ya Monduli, mbali ya kumshukuru Balozi Yoshida kwa misaada mbalimbali wanayoitoa ila zaidi tulijadiliana jinsi gani ya kufanya muendelezo na mikakati ya kuchukulia misaada hii kama nyezo za kufikia malengo ya maendeleo na sio njia ya utegemezi kiuchumi.
Hii ni list ya marais wa marekani tangia uhuru wake wa 1783
Jina la kwanza ni rais na la mbele ya mwaka ni la makamu wake
1 George
Washington 1789-1797 John Adams
2 John Adams 1797-1801 Thomas
Jefferson
3 Thomas
Jefferson 1801-1809
Aaron Burr
(1801-05)
George
Clinton
(1805-09)
4 James
Madison 1809-1817
George
Clinton
(1809-12)(a)
Elbridge
Gerry
(1813-14)(a)
5 James
Monroe 1817-1825 Daniel D.
Tompkins
6
John
Quincy
Adams
1825-1829 John C.
Calhoun
7 Andrew
Jackson 1829-1837
John C.
Calhoun
(1829-32)(b)
Martin Van
Buren
(1833-37)
8 Martin Van
Buren 1837-1841 Richard M.
Johnson
9 William H.
Harrison 1841 (a) John Tyler
10 John Tyler 1841-1845 vacant
11 James K.
Polk 1845-1849 George M.
Dallas
12 Zachary
Taylor
1849-1850
(a)
Millard
Fillmore
13 Millard
Fillmore 1850-1853 vacant
14 Franklin
Pierce 1853-1857 William
R.D. King
15 James
Buchanan 1857-1861 John C.
Breckinridge
16 Abraham
Lincoln
1861-1865
(a)
Hannibal
Hamlin
(1861-65)
Andrew
Johnson
(1865)
17 Andrew
Johnson 1865-1869 vacant
18 Ulysses S.
Grant 1869-1877
Schuyler
Colfax
(1869-73)
Henry
Wilson
(1873-75)(a)
19 Rutherford
B. Hayes 1877-1881 William A.
Wheeler
20 James A.
Garfield 1881 (a) Chester A.
Arthur
21 Chester A.
Arthur 1881-1885 vacant
22 Grover
Cleveland 1885-1889
Thomas A.
Hendricks
(1885)(a)
23 Benjamin
Harrison 1889-1893 Levi P.
Morton
24 Grover
Cleveland 1893-1897 Adlai E.
Stevenson
25 William
McKinley
1897-1901
(a)
Garret A.
Hobart
(1897-99)
Theodore
Roosevelt
(1901)
26 Theodore
Roosevelt 1901-1909
vacant
(1901-05)
Charles W.
Fairbanks
(1905-09)
27 William
Howard
Taft
1909-1913
James S.
Sherman
(1909-12)(a)
28 Woodrow
Wilson 1913-1921 Thomas R.
Marshall
29 Warren G.
Harding
1921-1923
(a)
Calvin
Coolidge
30 Calvin
Coolidge 1923-1929
vacant
(1923-25)
Charles G.
Dawes
(1925-29)
31 Herbert
Hoover 1929-1933 Charles
Curtis
32 Franklin D.
Roosevelt
1933-1945
(a)
John N.
Garner
(1933-41)
Henry A.
Wallace
(1941-45)
Harry S.
Truman
(1945)
33 Harry S
Truman 1945-1953
vacant
(1945-49)
Alben W.
Barkley
(1949-53)
34 Dwight D.
Eisenhower 1953-1961 Richard M.
Nixon
35 John F.
Kennedy
1961-1963
(a)
Lyndon B.
Johnson
36 Lyndon B.
Johnson 1963-1969
vacant
(1963-65)
Hubert H.
Humphrey
(1965-69)
37 Richard M.
Nixon
1969-1974
(c)
Spiro T.
Agnew
(1969-73)
Gerald R.
Ford
(1973-74)(d)
38 Gerald R.
Ford 1974-1977
Nelson A.
Rockefeller
(d)
39 James Earl
Carter 1977-1981 Walter
Mondale
40 Ronald
Reagan 1981-1989 George Bush
41 George
Bush 1989-1993 J. Danforth
Quayle
42 William J.
Clinton 1993-2001 Albert Gore
Jr.
43 George W.
Bush 2001-2009 Dick Cheney
44 Barack H.
Obama 2009- Joe Biden
Obama atua Hiroshima
Ikumbukwe kuwa mnamo mwaka 1939-1945 vita ya pili ya dunia ilipiganwa kwa sababu ambazo hazikumalizika wakati wa vita ya kwanza ya dunia ya mwaka 1914-1918.
Mnamo august 6 ya mwaka 1945 Bomu la atomic lilipigwa katika mji wa Hiroshima kwa makadilio liliua with 140000.
Haikua mwisho baada ya siku Tatu kupita Bomu la pili lilipigwa katika mji wap Nagasaki Bomu hili pia linakadiliwa kuua watu kati ya 70000.
Hali hii ilipelekea Japan kushindwa vita na ilipofika august 15 ya mwaka huo Japan ilijitoa rasmi kwenye vita hiyo.
Ikaliliwe kuwa tangia mwaka huo wa kumalizika kwa vita hiyo marekani chini ya Franklin Roosevelt Barack Obama ndiye rais wa kwanza wa nchi hiyo alieko madarakani kutembelea Hiroshima mbali na hivyo amezidi kuasa juu ya utumizi wa siraha za maangamizi maana no siraha zenye madhara makubwa kwa binadamu
Anusulika kifo kwa kujirusha mnarani
Kijana mmoja (pichani) jijini mwanza amenusulika kifo baada ya kujirusha kwenye mnara wa mawasiliano wa kampuni la Vodacom uliopo jirani na makutano ya barabara ya nyerere na makongolo jirani na ilipokuwa clinic.
Kijana huyo alipanda mnarani hapo majira ya saa mbili asubuhi licha ya jitihada za jeshi la zimamoto na uokoaji wakishirikiana na jeshi la polisi na raia waliokuwepo eneo la tukio kumtaka ashuke kijana huyo alizidi kupanda juu na alipo fikia kileleni mwa mnara huo aliamua kujirusha na hivi sasa yupo hospitali ya mkoa sekoutoure kwa matibabu chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Ikumbukwe kuwa kijana huyu aliwahi kupanda mnara wa sasa uliopo makutano ya makongoro na nyerere japo hakufanikiwa kutimiza azma yake